Uchaguzi wa Shirika la Wikimedia 2013/Matokeo

From Meta, a Wikimedia project coordination wiki
This page is a translated version of the page Wikimedia Foundation elections 2013/Results and the translation is 100% complete.
Info The election ended 22 June 2013. No more votes will be accepted.

The results were announced on 24 June 2013.

Help translate the election.

Kamati ya Uchaguzi 2013 Imetangaza matokeo ya Chaguzi wa Baraza la Wadhamini 2013. Matokeo haya yamethibitishwa na Baraza la Wadhamini. Wagombea walioshinda ni hawa:

  • Kwa Baraza la Wadhamini:
    • Samuel Klein (Sj)
    • Phoebe Ayers (phoebe)
    • María Sefidari (Raystorm)
  • Kamati ya usimamiaji wa Ruzuku
    • notafish (Delphine Ménard)
    • CristianCantoro (Cristian Consonni)
  • Afisa wa kamati ya Ruzuku
    • Lusitana (Susana Morais)

Matokeo ya wagombea wote

Afisa wa kamati ya ruzuku
Wagombea Kuungwa mkono Sio fungamana Pingamizi Uwiano wa Kuungwa mkono
(S/(S+O))
Lusitana (Susana Morais) 75 870 164 82.53
MBisanz (Matthew Bisanz) 40 907 262 70.95
Kamati ya usimamiaji wa Ruzuku
Wagombea Kuungwa mkono Sio fungamana Pingamizi Uwiano wa Kuungwa mkono
(S/(S+O))
notafish (Delphine Ménard) 27 791 191 81.24
CristianCantoro (Cristian Consonni) 79 1,033 197 74.61
Aegis Maelstrom (Michał Buczyński) 15 1,100 194 72.64
Abbasjnr (Abbas Mahmood) 29 1,064 316 57.58
MikyM (Mile Kiš) 35 1,218 256 56.68
Smallbones 00 1,068 341 53.98
ImperfectlyInformed (Ben) 09 1,149 451 31.67
Baraza la wadhamini
Wagombea Kuungwa mkono Sio fungamana Pingamizi Uwiano wa Kuungwa mkono
(S/(S+O))
Samuel Klein (Sj) 87 817 205 79.33
Phoebe Ayers (phoebe) 93 871 245 73.88
María Sefidari (Raystorm) 44 935 230 73.68
Liam Wyatt (Wittylama) 73 1,004 232 71.18
Michel Aaij (Drmies) 33 967 309 63.30
Kat Walsh (Mindspillage) 61 891 357 61.11
Jeromy-Yu Chan (Yuyu) 88 1,004 317 60.62
John Vandenberg
(John Vandenberg)
99 970 340 59.48
Leigh Ann Thelmadatter
(Thelmadatter)
82 1,074 353 51.97
Tom Morton (ErrantX) 02 1,101 406 42.66
Francis Kaswahili Kaguna[1]
(Francis Kaswahili)
02 978 529 36.34
  1. Mgombea amepoteza sifa kwa kufungiwa katkati ya kipindi cha Uchaguzi.

Maelezo ya Kamati ya uchaguzi

Kamati ya Uchaguzi imethibitisha kwamba Uchaguzi ulikuwa huru na wa haki hivyo hakuna haja ya kutia mashaka. Kulikuwa na jumula ya wapiga kura 1927 katika jedwari la kura. kati ya hizi, kulikuwa na kura 13 (kura hizi zote zilipigwa kwa majaribio); 105 ama zilighailishwa katika chombo cha kura, na 1809 kura halali. Nyongeza,maelezo zaidi ya kitakwimu na uchambuzi yatapatikana katika siku za usoni au majuma machache yajayo.

Viwango vyote vya kijumuiya, Ukijumuisha na baraza, wagombea,wapiga kura, Watumishi wa WMF na Kamati ya Uchaguzi, wanahamasishwa kushiriki katika chombo cha majadiliano ya mwenendo mzima wa Uchaguzi.

Kwa mara ya kwanza, Uchaguzi pamoja na viti vya Kamati ya usimamiaji wa ruzuku na ile ya afisa wa ruzuku. Kitendo hiki kimeongeza chachu katika mchakato wa uchaguzi, wagombea, wapiga kura, timu ya wataalamu na Kamati ya Uchaguzi. masuala kadha wa kadha kuhusiana na watumiaji wa jedwari la kura kama ilivyotambulishwa, vilevile kuhusi ana na masuala ya kiusalama wa kura au utoaji wa matokeo. Mwanzo wa upigaji kura kadogo kulikuwa na kaucheleweshaji kwa muda wa wiki moja kama vile ambavyo kamati pia haikusema kuhusiana na orodha ya wapiga kura na utayari wa mtandao ulikuwa tayari na kwa kuonesha tarehe ya kuanza kwake.

Kamati ya Uchaguzi inatoa shukrani kwa Sam Reed, Philippe Beaudette, na James Alexander kwa uthamini na msaada wao.

Kwa Kamati ya Uchaguzi

Risker (talk) 20:12, 24 June 2013 (UTC)[reply]