Wikisource/sw

From Meta, a Wikimedia project coordination wiki
This page is a translated version of the page Wikisource and the translation is 22% complete.
Outdated translations are marked like this.

Wikisourceni mrdai wa Shirika la Wikimedia wa kujenga maktaba huru ya maelezo. kimsing mradi huu unaitwa mradi wa sourceberg ambao ulianzishwa mwaka 2003, mradi huu ulianzishwa chini ya idara ndogo ya makabila mbalimbali mnamo mwaka 2005. Kwa sasa mradi huu ni nyumba ya vitabu, Riwaya,insha,nyaraka za hadithi za kale, masahiri, barua, hotuba, na nyaraka zinginezo, ni ndefu kulingana na jinsi ambavyo itaandaliwa chini ya chombo cha cc-by-SA Kibali cha matumizi huria.

Jina,Kauli mbiu,Alama

Alama haris ya wikisource
  • Angalia chati ya multilingual ''wikisource-Maktaba huru'' kwa jina la mradi na alama yake yenye makabila mengi sana.
  • Alama ya wikisource hubadilika kulingana na historia ya mradi. Ilikuwa na uhalisia wa picha za jpg (kama inavyoonekana kulia) lakini kwa sasa inaonekana katika mwonekano wa picha wa .svg ambao upo kwenye iceberg (kama unavyoonekana hapo juu).

Olodha ya wikisources

Hii ni alama ya lugha ndogondogo za wikisource.Tazama Wikisource:Lugha kwa olodha ya lugha bila ya kuwa na alama ndogondogo; hizi zote zimehifadhiwa katika Multilingual Wikisource.

Alemannic, North Frisian, Bavarian, Rhine Franconian, Pennsylvania Dutch Wikisources

An Alemannic Wikisource has been created as separate namespace within Alemannic Wikipedia: Alemannischi Textsammlig (Wikisource) and similarly, the North Frisian Wikipedia, the Bavarian Wikipedia, the Rhine Franconian Wikipedia, and the Pennsylvania Dutch Wikipedia have also adopted Wikisource projects in the Text namespace: Nordfriisk Bibleteek, Boarische Text, Rheifränggische Tegschdsommlung, Pennsylvanische Wikisource.

Historical discussion

Please see the talk page.

See also