Chaguzi za Shirika la Wikimedia/2022

From Meta, a Wikimedia project coordination wiki
This page is a translated version of the page Wikimedia Foundation elections/2022 and the translation is 67% complete.
Outdated translations are marked like this.

Wakati wa uchaguzi wa Bodi ya Wadhamini ya mwaka 2022, wagombea wawili wa jumuiya na washirika watachaguliwa kuhudumu katika Bodi ya Wadhamini ya Shirika la Wikimedia. Ukurasa huu una muhtasari wa uchaguzi wa Bodi ya Wadhamini ya mwaka 2022.

The elected candidates were:

You may also view the full results, including the outcome of each round of Single-Transferrable Vote.

Kuhusu uchaguzi

Bodi ya Wadhamini ya Shirika la Wikimedia inasimamia shughuli za Shirika la Wikimedia. Wadhamini wa jumuiya na wadhamini walioteuliwa wanaunda Bodi ya Wadhamini. Kila mdhamini anahudumu kwa muda wa miaka mitatu. Jumuiya ya Wikimedia ina fursa ya kuwapigia kura wadhamini waliochaguliwa na jumuiya na washirika. Wagombea wawili watajiunga na [Bodi ya Wadhamini]. Wagombea waliochaguliwa wataorodheshwa kwanza na washirika na hatimaye kuchaguliwa na jumuiya.

Ujuzi na uzoefu unaohitajika

Wikimedia ni harakati ya ulimwengu na Bodi inatafuta wagombea kutoka katika jumuiya pana. Wagombea wanaofaa ufungamana na dhamira ya Wikimedia na wanafikra, heshima, na mwelekeo wa jumuiya.

Bodi ingependa kupata mitazamo na sauti ambazo zina uwakilishi mdogo na muhimu kwa harakati zetu. Ili kujaza mapengo katika uwakilishi wa kihistoria na wa sasa ndani ya Bodi, Bodi ya Wadhamini inatarajia kuhimiza maombi hasa kutoka kwa wale walio na uzoefu katika maeneo yafuatayo: Afrika, Asia ya Kusini, Mashariki na Asia ya Kusini-Mashariki na Pasifiki, na Amerika ya Kusini na Visiwa vya Karibi. Uzoefu unaohitajika wa kikanda sio hitaji, lakini sababu ya ziada. Badala ya kuwa wa lazima, hizi ni sifa muhimu ambazo Bodi inasihi kila mtu azingatie.

Bodi inaelewa kuwa kuna uwezekano kwamba baadhi ya wagombea kutoka maeneo yaliyonyimwa kipaombele huleta mtazamo bora zaidi juu ya utofauti kuliko wagombea wengine kutoka maeneo yaliyopewa kipaumbele ambao hawajui masuala ya usawa. Wagombea wanapaswa kushiriki jinsi uzoefu wao umewawezesha kukuza utofauti, usawa, na ujumuisho.

Ujuzi

Maeneo ya uzoefu ambayo Bodi imetaja kuwa na manufaa zaidi kwa wadhamini wapya kuleta ni:

  1. Mkakati wa shirika na usimamizi
  2. Teknolojia ya jukwaa la kiwango cha biashara na/au ukuzaji wa bidhaa
  3. Sera ya umma na sheria
  4. Sayansi ya data jamii, uchambuzi mkubwa wa data, na kujifunza kwa mashine

Pata maelezo zaidi kuhusu mitazamo, uzoefu na ujuzi unaohitajika kwa wagombea kuwa nao katika uchaguzi huu kwenye ukurasa wa Omba kuwa Mgombea.

Upigaji kura wa jumuiya

Wanajamii watapata fursa ya kupiga kura kuchagua wadhamini wawili kati ya wagombea sita walioteuliwa na washirika. Kura Moja Inayohamishika kwenye KuraSalama itatumika mwaka huu.

Baadhi ya wanajamii walibainisha kuwa ilikuwa changamoto katika kuchagua watahiniwa mwaka wa 2021. Idadi ya watahiniwa ilikuwa kubwa sana. Ili kusaidia mchakato wa uteuzi wa wanajamii, zana ya ushauri wa upigaji kura itaundwa. Hii itakuwa sawa na zana ya ushauri wa upigaji kura iliyotumika kwa mchakato wa uteuzi wa Kamati ya Uandishi wa Hati ya Harakati.

Ratiba ya wakati

April 2022
  • Bodi inatangaza ratiba ya wakati wa uchaguzi na mchakato wa uchaguzi.
  • Kamati ya Chaguzi na timu ya Mkakati na Utawala wa Harakati huanza kufanya kazi na washirika kufafanua Kamati ya Uchambuzi.
Katikati ya Aprili - mapema Mei 2022
  • Wito kwa Wagombea
  • Kamati ya Chaguzi na uthibitisho wa Uaminifu na Usalama wa wagombea.
Mwishoni mwa Aprili - mapema Mei 2022
  • Wito kwa Washirika kubaini wajumbe wa Kamati ya Uchambuzi.
Katikati ya Mei - mapema Juni 2022
  • Kamati ya Uchambuzi inakadiria wagombea.
June 10, 2022 – June 17, 2022
  • Affiliate representatives propose their questions to candidates and upvote questions on the MS Forum private category
June 18, 2022 – June 24, 2022
  • Time for candidates to answer questions on their own
Late June
  • The Analysis Committee ratings will be shared with Affiliate Representatives via email
June 24, 2022 – June 30, 2022
  • The MS Forum private category is made public, and candidates can post their answers
July 1, 2022 – July 15, 2022
  • Kipindi cha Washirika kupiga kura kwa orodha fupi ya wagombea.
Mid-July
  • Orodha fupi ya wagombea inachapishwa
  • The Analysis Committee ratings will be posted on-wiki.
Katikati ya Julai - mapema Agosti 2022
  • Jumuiya inapendekeza maswali kwa wagombea na kauli za zana ya ushauri wa upigaji kura.
Katikati ya Julai - katikati ya Agosti
  • Kipindi cha kampeni cha kujumuisha mazungumzo ya jumuiya na wagombea.
August 19, 2022
August 23, 2022 – September 6, 2022
  • Kipindi cha jumuiya kupiga kura
  • Zana ya ushauri wa upigaji kura inafunguliwa
September 6, 2022 – September 21, 2022
  • Matokeo yanachunguzwa na kuthibitishwa na Kamati ya Chaguzi.
Oktoba 2022
  • Wadhamini wamethibitishwa

Ushiriki wa shirika la ushirika


Mashirika washirika yatapiga kura katika uchaguzi huu Julai ili kuorodhesha wagombea sita kutoka kundi la wagombea. Kila shirika shirikishi litaruhusiwa kura moja. Kura hii itatumia mbinu ya Kura Moja Inayoamishika. Mashirika washirika yanapaswa kujadili wagombea ambao shirika washirika lingependa kuchagua. Wagombea wanapaswa kuorodheshwa kulingana na upendeleo.

The Affiliate Representatives were able to ask questions for the candidates to answer. Candidates published answers starting on June 24.

Ili kusaidia katika mchakato huu wa uteuzi, Kamati ya Uchambuzi itaundwa.

Kamati ya Uchambuzi

Kwa usambazaji wa kikanda wa Washirika na wawezeshaji ambao watakuwa wakiiunga mkono, tazama Washirika usambazaji wa kikanda kwa Kamati ya Uchambuzi

Kamati ya Uchambuzi inaundwa kutoka kwa washirika mwishoni mwa Aprili na Mei. Kamati ya Uchambuzi inaundwa na wawakilishi 9 wa washirika (pamoja na sura zote, vikundi vya watumiaji, na vikundi vya mada) kutoka kwa maeneo katika harakati. Kila moja kutoka:

  • CEE (Ulaya ya Kati na Mashariki);
  • ESEAP (Asia ya Mashariki na Kusini-mashariki, na eneo la Pasifiki);
  • Afrika Kusini mwa Jangwa la Sahara
  • Amerika ya Kilatini na Visiwa vya Karibi;
  • MENA (Mashariki ya Kati na Afrika Kaskazini);
  • Amerika ya Kaskazini (Marekani na Kanada);
  • Ulaya ya Kaskazini na Magharibi;
  • Asia ya Kusini;
  • Jumlisha moja kwa ajili ya washirika mada.

There was no representative from the Northern and Western Europe or South Asia.

Mchakato wa uteuzi wa kuunda Kamati ya Uchambuzi utabainishwa na washirika, kwa usaidizi wa Kamati ya Chaguzi na timu ya Mkakati na Utawala wa Harakati inapohitajika.

Kamati ya Uchambuzi hutathmini wagombea dhidi ya ujuzi na utofauti, usawa na vigezo vya ujumuishi vilivyoshirikiwa na Bodi ya Wadhamini. Kamati ya Uchambuzi itatumia taarifa ambazo wagombea hujibu kwenye maombi yao kuwakadiria wagombea. Kamati ya Uchambuzi itawatathmini wagombea kwa mfumo wa dhahabu/fedha/shaba. Ukadiriaji huu utatumika kutoa maoni kwa mashirika shirikishi yanapopanga kura yao. Maelezo ya tathmini ya kila mgombea hayatashirikiwa.

Baada ya wagombea sita kuchaguliwa wakati wa mchakato wa upigaji kura wa shirika shirikishi, ukadiriaji wa kila mgombeaji aliyechaguliwa utachapishwa ili kufahamisha kura ya jumuiya. Mchakato huu unalenga kupata uwiano bora kati ya kushirikisha taarifa muhimu na kupunguza udhihirisho usio wa lazima wa wagombea.

Wajumbe wa kamati waliochaguliwa

Wajumbe wa Kamati ya Uchambuzi
Eneo Mwakilishi
CEE (Ulaya ya Kati na Mashariki) Mehman97 (talk meta edits global user summary CA)
ESEAP (Asia ya Mashariki na Kusini-mashariki, na Pasifiki) GDHFang (talk meta edits global user summary CA)
Afrika Kusini mwa Jangwa la Sahara Dnshitobu (talk meta edits global user summary CA)
Amerika ya Kilatini na Visiwa vya Karibi Superzerocool (talk meta edits global user summary CA)
MENA (Mashariki ya Kati na Afrika Kaskazini) علاء (talk meta edits global user summary CA)
Amerika ya Kaskazini Megs (talk meta edits global user summary CA)
Ulaya ya Kaskazini & Magharibi
SAARC (Asia ya Kusini)
Washirika wa mada Joalpe (talk meta edits global user summary CA)

Process

The Analysis Committee worked from late May to mid-June. Details of their meetings and process can be found on the Analysis Committee Discussions.

The Board Selection Task Force and the Elections Committee developed a set of evaluation criteria for the Analysis Committee to evaluate candidates against. The Analysis Committee members assessed candidates individually. Only two Movement Strategy and Governance facilitators who supported the process had access to these individual scores.

See also